African Gospel Songs Zabron Singers – Usiniache

Zabron Singers – Usiniache

Download Usiniache Mp3 by Zabron Singers

The renowned African Christian music ministers, praisers, and worship leaders whose songs have blessed lives “Zabron Singers” birth out a song of praise worship which they title “Usiniache“.

Get Audio Mp3, Stream, Share, and be blessed.

DOWNLOAD HERE

DOWNLOAD MORE ZABRON SINGERS SONGS HERE

Lyrics: Usiniache by Zabron Singers

Sitaki kuwa wa hivi hivi mimi
Kuipenda dunia nikaikosa mbingu
Kuwa vumbi la majivu kwa watakatifu
Litakalo kanyagwa na wa washindi wa dhambi
Sitaki kuwa wa hivi hivi mimi
Kuipenda dunia nikaikosa mbingu
Kuwa vumbi la majivu kwa watakatifu
Litakalo kanyagwa na wa washindi wa dhambi

Duniani mbinguni Mungu tuwe wote
Mbali ulikonitoa usiniache
Na ukiwa umeniheshimisha hapa chini
Yesu akija ruhusu niende na ye ye

Ninafurahi kuona vile unanijali
Nikiwa mdogo mkubwa Mungu uko nami
Kwenye vikwazo vitisho umekuwa na mimi
Mchana usiku bega kwa bega uko nami
Eh usiniache Mungu wangu
Baba tangu nikiwa mdogo mdogo umekuwa nami
Siku zote
Umenibariki vingi, ukanisamehe mengi
Baba ukinibariki unikumbushe nisikusahau
Siku zote
Nia yangu mi unimiliki baba yangu jana, leo
Baba na mpango kwenda Jerusalem
Unikumbuke niwe pale
Usiniache Mungu wangu (Baba)
Usiniache Mungu wangu (Baba)
Usiniache (Baba) Siku zote
Umenibariki vingi (Baba)
Ukanisamehe mengi (Baba)
Usiniache (Baba)
Nia yangu Mungu (Baba)
Unimiliki baba yangu (Baba)
Jana leo hata kesho (Baba)

Lutu alikataa kubaki hivyo hivyo
Ukakataa kupenda uovu wa Sodoma
Katikati ya mji wa uovu wa dhambi
Kwa uaminifu ukamuakilisha Mungu
Lutu alikataa kubaki hivyo hivyo
Ukakataa kupenda uovu wa Sodoma
Katikati ya mji wa uovu wa dhambi
Kwa uaminifu ukamuakilisha Mungu

Naomba nami niwe mtumwa mwaminifu
Niwakilishe vyema jina la Yesu
Hata kama dunia ikidhiri uovu
Ruhusu nisimame nikutetee

Na siku ile Mwokozi wangu ataporudi
Aseme vyema we ni mtumishi mwema
Kisha nikae nipae mawingu nina Yesu
Kuanzisha familia mpya na Mungu
Eh usiniache Mungu wangu
Baba tangu nikiwa mdogo mdogo umekuwa nami
Siku zote
Umenibariki vingi, ukanisamehe mengi
Baba ukinibariki unikumbushe nisikusahau
Siku zote
Nia yangu mi unimiliki baba yangu jana, leo
Baba na mpango kwenda Jerusalem
Unikumbuke niwe pale
Usiniache Mungu wangu (Baba)
Usiniache Mungu wangu (Baba)
Usiniache (Baba) Siku zote
Umenibariki vingi (Baba)
Ukanisamehe mengi (Baba)
Usiniache (Baba)
Nia yangu Mungu (Baba)
Unimiliki baba yangu (Baba)
Jana leo hata kesho (Baba)

Comment below with your feedback and thoughts on this post.