African Gospel Songs Zabron Singers – Nakutuma Wimbo

Zabron Singers – Nakutuma Wimbo

Download Nakutuma Wimbo Mp3 by Zabron Singers

The renowned African Christian music ministers, praisers, and worship leaders whose songs have blessed lives “Zabron Singers” birth out a song of praise worship which they title “Nakutuma Wimbo“.

Get Audio Mp3, Stream, Share, and be blessed.

DOWNLOAD HERE

DOWNLOAD MORE ZABRON SINGERS SONGS HERE

Lyrics: Nakutuma Wimbo by Zabron Singers

Natamani nitoe shuhuda
Kupitia wimbo nimtetee Mungu
Matiafa wapate sikia
Mazuri ya Mungu vile ni mwema kwetu

Sisi ni bure bila Mungu
Tulivyo navyo ni vya Mungu
Kufanikiwa ni Mungu tu
Nitabaki na Mungu

Nadhani wamwelewa Mungu
Si Mungu wa kushindwa
Kwa wengi amefanya kitu
Na sasa wanasifu

Asante kwa baraka za upendo wako
Najifunza wabariki wapate na wengine
Asante kwa baraka ya maisha yangu
Najifunza wanipenda nishare na wengine

Nakutuma wimbo, uende kwa yule
Ukambariki (Nenda)
Makuu ya Mungu vile huinua
Vile hubariki (Nenda)
Nyumbani kazini uende na Mungu
Usishindwe kitu (Nenda)

Ufike, hee hee hee
Ufike, hee hee hee
Ufike, hee hee hee

Wimbo sema na yule
Wewe rafiki wa wote
Huna ubaguzi nenda wimbo
Kwenye gari waambie, ofisini kazini
Nyumbani popote wimbo nenda wimbo

Neno la Bwana Mungu wetu
Likitamka juu ya kitu
Halitarudi bila kitu
Lazima litimie

Umeomba kitu kwa Mungu
Huyu ndiye Mungu wa vitu
Kupata na kukosa vitu
Mwamuzi bado yeye

Asante kwa baraka za upendo wako
Najifunza wabariki wapate na wengine
Asante kwa baraka ya maisha yangu
Najifunza wanipenda nishare na wengine

Nakutuma wimbo, uende kwa yule
Ukambariki (Nenda)
Makuu ya Mungu vile huinua
Vile hubariki (Nenda)
Nyumbani kazini uende na Mungu
Usishindwe kitu (Nenda)

Wengine wakisikia wimbo wanapona
Waambie mazuri ya Mungu wimbo wimbo
Wengine tu wakisikia wimbo wanapona
Waambie mazuri ya Mungu wimbo wimbo (Hee hee heee)

Nakutuma wimbo, uende kwa yule
Ukambariki (Nenda)
Makuu ya Mungu vile huinua
Vile hubariki (Nenda)
Nyumbani kazini uende na Mungu
Usishindwe kitu (Nenda)

Nakutuma wimbo, uende kwa yule
Ukambariki (Nenda)
Makuu ya Mungu vile huinua
Vile hubariki (Nenda)
Nyumbani kazini uende na Mungu
Usishindwe kitu (Nenda)

Comment below with your feedback and thoughts on this post.