Download Emmanuel Mp3 by Vestine & Dorcas
The award-winning gospel music duo from Rwanda Vestine & Dorcas presents to us a compelling song, as this masterpiece is titled “Emmanuel“. This track, released in 2025 , is a captivating and inspirational addition to any music enthusiast’s collection. The tune “Emmanuel” carries a powerful message and a mesmerising melody, making it a must-listen for all. Feel free to stream the mp3, watch the video, and sing along to the heartfelt lyrics.
Get the MP3 audio, download, stream, and share this amazing song with your friends and family. When you share it, you’re spreading the goodness and joy of the song. #CeeNaija
Download More VESTINE & DORCAS Songs Here
You May Like These Too 🔥
Lyrics: Emmanuel by Vestine & Dorcas
Kwa upande wako nitasimama himara Hata marafiki wanitenge ,kila mahali nizatungukwa na neema
nitazidiwa na nyimbo za sifa
Nimeona waliopondwa wamerejeshwa tena
waliocoka hupata nguvu mpya
Roho tasa ziriokorewa kwa pumzi wako takatifu
Kwa kila ajabu uliodenda,
niliona sababu za kukuabudu.
kwenye kila chozi oliyofuta
kuna ishara ya uku wako
Ukiishi nami Yesu
Nimuogope nani Yesu
Askari wangu Hodari x2
Bila masharti ulinichaguwa
ulinipenda jinsi nilivyokuwa Emmanuel
siwizije kuhisi kubarikiwa na wema wako kubwa uliomimina x2
Kwa Juu yangu
ooooooh Niligonga mlango
Ooooooh ukanifunguliya
Ooooh I will Glorify you .
I ‘go lift you high
kwa uhuru nimepata
Verse 2:
umekaa nami katika zhoruba
kupitia mwoto tumekuwa pamoja
myoyo yetu ilijaliwa na Woga.
huruma yako ikanikomboa
upendo wako ni ngao yangu
Golliati hatanizowea
Ushindi wako ni fahari yangu
Fimbo yako inaniongoza
Mwana kondo mwenye miujiza
Ushindi wako ni fahari yangu
Kwa kila ajabu uliodenda,
niliona sababu za kukuabudu.
kwenye kila chozi oliyofuta
kuna ishara ya uku wako
Ukiishi nami Yesu
Nimuogope nani Yesu
Askari wangu Hodari x2
Bila masharti ulinichaguwa
Ulinipenda jinsi nilivyokuwa Emmanuel
Siwizije kuhisi kubarikiwa na wema wako kubwa uliomimina
Kwa juu yangu
ooooooh Niligonga mlango
ooooooh ukanifunguliya
Ooooh I will Glorify you
I ‘go lift you high
kwa uhuru nimepata
Kwa pleasure na Sorrow through every hollow
I will always walk in steps you called me to follow
katika kila tatizo iwe kubwa ao dogo nitaweka Imani yangu yote kwako
Kwa kila ajabu uliodenda,
niliona sababu za kukuabudu.
kwenye kila chozi oliyofuta
kuna ishara ya uku wako
Ukiishi nami Yesu
Nimuogope nani Yesu
Askari wangu Hodari x2
Bila masharti ulinichaguwa
Ulinipenda jinsi nilivyokuwa Emmanuel
Siwizije kuhisi kubarikiwa na wema wako kubwa uliomimina
Kwa juu yangu
ooooooh Niligonga mlango
ooooooh ukanifunguliya
Ooooh I will Glorify you
I ‘go lift you high
kwa uhuru nimepata
kwa kila ajabu uliotenda.
Niliona sababu za kukuabudu.
kwenye kila chozi oliyofuta
kuna ishara ya uku wako
Ukiishi nami Yesu
Nimuogope nani Yesu
Askari wangu Hodari
Bila masharti ulinichaguwa
Ulinipenda jinsi nilivyokuwa Emmanuel
Siwizije kuhisi kubarikiwa na wema wako kubwa uliomimina
Kwa juu yangu
ooooooh Niligonga mlango
ooooooh ukanifunguliya
Ooooh I will Glorify you
I ‘go lift you high
kwa uhuru Nimepata





