African Gospel Songs Rose Muhando – Yesu Nakupenda

Rose Muhando – Yesu Nakupenda

Rose Muhando Yesu Nakupenda

Download Yesu Nakupenda Mp3 by Rose Muhando

The renowned Christian music minister and songwriter Rose Muhando” comes through with a song of blessing which she titles “Yesu Nakupenda“.

Get Audio Mp3, Stream, Share, and be blessed.

DOWNLOAD HERE

Download More ROSE MUHANDO Songs Here

Lyrics: Yesu Nakupenda by Rose Muhando

Yesu nakupenda, bwana yesu wee nakupenda
Yesu wee nakupenda, bwana yesu wee nakupenda
Kama vile wewe ulivyo nipenda kwanza nakupenda
Kisha tena ukautoa uhai wako nakupenda
Kama vile wewe ulivyo nipenda kwanza nakupenda
Kisha tena ukautoa uhai wako nakupenda
Yesu uh-h-h-h-h-uh, Yesu

Yesu wee nakupenda, bwana yesu wee nakupenda
Yesu wee nakupenda, bwana yesu wee nakupenda
Kama vile wewe ulivyo nipenda kwanza nakupenda
Kisha tena ukautoa uhai wako nakupenda
Kama vile wewe ulivyo nipenda kwanza nakupenda
Kisha tena ukautoa uhai wako nakupenda
Yesu uh-h-h-h-h-uh, Yesu

Msalabani dhambi zangu ulichukua
Kufika kalivari Bwana ulizitua
Nami nimewekwa huru ninakwimbia
Msalabani dhambi zangu ulichukua
Kufika kalivari Bwana ulizitua
Nami niwekwa huru ninakwimbia
Nikufananishe na nani mwokozi wangu? (Baba)
Naona fahari mimi ninakuimbia (Baba)
Nani asimame badala yako? (Baba)
Hakuna mwingine ila Yesu pekee yako (Baba)
Nikufananishe na nani mwokozi wangu? (Baba)
Naona fahari mimi ninakuimbia (Baba)
Nani asimame badala yako? (Baba)
Hakuna mwingine ila Yesu pekee yako (Baba)
Nafahamu Yesu anipenda mimi

Yesu wee nakupenda, bwana yesu wee nakupenda
Yesu wee nakupenda, bwana yesu wee nakupenda
Kama vile wewe ulivyo nipenda kwanza nakupenda
Kisha tena ukautoa uhai wako nakupenda
Kama vile wewe ulivyo nipenda kwanza nakupenda
Kisha tena ukautoa uhai wako nakupenda
Yesu uh-h-h-h-h-uh, Yesu

Nilipokuwa kwa shetani niliugua
Ndugu na jamaa zangu walinikimbia
Lakini Yesu wa huruma ukanihurumia
Nikufananishe na nani mwokozi wangu? (Baba)
Naona fahari mimi ninakuimbia (Baba)
Nani asimame badala yako? (Baba)
Hakuna mwingine ila Yesu pekee yako (Baba)
Nikufananishe na nani mwokozi wangu? (Baba)
Naona fahari mimi ninakuimbia (Baba)
Nani asimame badala yako? (Baba)
Hakuna mwingine ila Yesu pekee yako (Baba)
Ninajua Yesu wanipenda mimi

Yesu wee nakupenda, bwana yesu wee nakupenda
Yesu wee nakupenda, bwana yesu wee nakupenda
Kama vile wewe ulivyo nipenda kwanza nakupenda,
Kisha tena ukautoa uhai wako nakupenda
Kama vile wewe ulivyo nipenda kwanza nakupenda
Kisha tena ukautoa uhai wako nakupenda
Yesu uh-h-h-h-h-uh, Yesu

Kwimake eh, kwimake weh
Kwimake weeh, kwimake eh
Kwimake mundewa Yesu (Alleluia kwimake Baba) oh kwimake eh
Kunilapa kwe ruhoma baba (Alleluia kwimake Baba) oh kwimake weh
Kwimake baba (Alleluia), kwimake baba (kwimake Baba)
Kwimake baba (Alleluia) kwimake baba (kwimake Baba)
Kwimake baba (Alleluia) ma ma ma ma (kwimake Baba)
Kwimake mundewa baba (Alleluia) oh kwimake eh (kwimake Baba)
Jaga kyala (Alleluia) jaga kyala (kwimake Baba)
Jaga kyala baba (Alleluia) jaga kyala (kwimake Baba)
Asante mwokozi wangu (Alleluia) uh asante eh (kwimake Baba)
Asante mwokozi wangu (Alleluia) uh asante eh (kwimake Baba)
Kwimake baba (Alleluia) ba ba ba ba (kwimake Baba)
Kwimake ba ba ba (Alleluia) kwimake baba (kwimake Baba)
Kwimake mundewa Yesu (Alleluia) oh kwimake eh (kwimake Baba)
Kwimake mundewa Yesu (Alleluia) oh kwimake eh (kwimake Baba)

Comment below with your feedback and thoughts on this post.