Top Christian Songs Rose Muhando – Miamba Imepasuka

Rose Muhando – Miamba Imepasuka

Rose Muhando Miamba Imepasuka

Download Miamba Imepasuka Mp3 by Rose Muhando

The renowned Christian music minister and songwriter Rose Muhando” comes through with a song of blessing which she titles “Miamba Imepasuka“.

Get Audio Mp3, Stream, Share, and be blessed.

DOWNLOAD HERE

Download More ROSE MUHANDO Songs Here

Lyrics: Miamba Imepasuka by Rose Muhando

Tuimbe eeh, wewe ni bwana
Tuimbe eeh, wewe ni bwana
Tuimbe eeh, wewe ni bwana
Tuimbe eeh, wewe ni bwana
(Glory glory)

Tuimbe eeh, wewe ni bwana
Tuimbe eeh, wewe ni bwana

Eee Mungu bingu na zikusifu
Watu na wakuimbie
Dunia na iseme wewe ni Bwana
Wewe uliyemwangusha nyangumi

Mungu wa wafilisti
Mwisho wake wakajua wewe ni Bwana
Uliye gawanya bahari kwa mkono wa Musa
Na kuweka history ee wewe ni Bwana

Na ulikomesha masimango na kiburi cha Pharaoh
Walisifu na kusema wewe ni Bwana
Uliyesimamisha jua kwa mkono wachojua
Wenye akili wamesurrender
Wewe umeweka recordi, isiyoweza kuvunjwa
Ndio maana tunasema wewe ni Bwana

Wacha nikuinue, wacha nikuabudu
Mungu wangu wewe, wewe..
Wewe ni Mungu, wewe ni Bwana

Tuimbe eeh, wewe ni bwana
Tuimbe eeh, wewe ni bwana
Tuimbe eeh, wewe ni bwana
Tuimbe eeh, wewe ni bwana
(Glory glory)

Tuimbe eeh, wewe ni bwana
Tuimbe eeh, wewe ni bwana

Ni ya ajabu mambo yako Baba wee
Yanatisha matendo yako Mungu wee
Ni ya ajabu mambo yako Baba wee
Yanatisha matendo yako Mungu wee

Sinai ulipasuka miamba ilipasuka
Mbingu zikatetemeka wewe ni Bwana
Wewe ni moto ulao, Baba uangungushaye
Nani kama wewe… wewe ni Bwana
Wewe ni Bwana, wewe ni Bwana

Tuimbe eeh, wewe ni bwana
Tuimbe eeh, wewe ni bwana
Tuimbe eeh, wewe ni bwana
Tuimbe eeh, wewe ni bwana
(Glory glory)

Tuimbe eeh, wewe ni bwana
Tuimbe eeh, wewe ni bwana

Ebenezer, Ebenezer
Bwana wa mabwana
Mfalme wa wafalme
Mungu wa miungu nani kama wewe

Tuimbe eeh, wewe ni bwana
Tuimbe eeh, wewe ni bwana
Tuimbe eeh, wewe ni bwana
Tuimbe eeh, wewe ni bwana
(Glory glory)

Tuimbe eeh, wewe ni bwana
Tuimbe eeh, wewe ni bwana

Comment below with your feedback and thoughts on this post.