Top Christian Songs Evelyn Wanjiru – Mungu Mkuu

Evelyn Wanjiru – Mungu Mkuu

Evelyn Wanjiru Mungu Mkuu

Download Mungu Mkuu Mp3 by Evelyn Wanjiru

The renowned African Christian music minister, praiser, and worship leader whose songs have blessed lives “Evelyn Wanjiru” birth out a song of praise worship which she titles “Mungu Mkuu“.

Get Audio Mp3, Stream, Share, and be blessed.

DOWNLOAD HERE

Lyrics: Mungu Mkuu by Evelyn Wanjiru

Yaweh
Eee iyee iye
Unabaki kua Mungu pekee. Yaweh

Zaidi ya yote, utabaki kua Mungu mkuu.
Alfa na omega, hubadiliki kamwe
Zaidi ya yote, utabaki kua Mungu mkuu.
Alfa na omega, hubadiliki kamwe
Zaidi ya yote, utabaki kua Mungu mkuu.
Alfa na omega,hubadiliki kamwe

Nikitazama nyuma na mbele, naona ukuu wako.
Kaskazini kusini pia, naona ukuu wako.
Magharibi nako mashariki pia ee, naona ukuu wako

Zaidi ya yote, utabaki kua Mungu mkuu.
Alfa na omega, hubadiliki kamwe
Zaidi ya yote, utabaki kua Mungu mkuu.
Alfa na omega, hubadiliki kamwe

Hakuna mkamilifu katika wanadamu iyee,
Zaidi ya ee weh Mungu wangu Mungu wangu
Kila goti lipigwe, kila ulimi ukiri
Kuwa wewe ni Mungu pekee, pekee, wewe

Zaidi ya yote, utabaki kua Mungu mkuu.
Alfa na omega, hubadiliki kamwe
Zaidi ya yote, utabaki kua Mungu mkuu.
Alfa na omega, hubadiliki kamwe

Umenipigania, vita vikali.
Ambavyo mimi singeweza peke yangu.
Maadui waliniandama
Lakini ukawatawanya, kwa njia sabaa
Usifiiwe, uabudiwe

Zaidi ya yote, utabaki kua Mungu mkuu.
Alfa na omega, hubadiliki kamwe
Zaidi ya yote, utabaki kua Mungu mkuu.
Alfa na omega, hubadiliki kamwe

Unabaki kuwa Mungu tu
Anabaki kuwa Mungu tu
Na kwa wakamba, Mungu tu.
Na kwa waluhya, Mungu tu.
Na wakikuyu, Mungu tu.
Na kwa waturkana, Mungu tu.
Hata wakisii, Mungu tu
Hata waluo,Mungu tu.
Na kwa wamasaii, Mungu tu
Na kwa wakalenjin, Mungu tu.
Eeeyeye Mungu tu.
Na mijikenda, Mungu tu
Anabaki kuwa, Mungu tu
Na kwa wazungu, Mungu tu
Afrika yote, Mungu tu
Dunia yote, utabaki kua Mungu mkuu.
Yeaah atabaki kua Mungu

Atabaki kua Mungu tu
Zaidi ya yote, utabaki kua Mungu mkuu.
Alfa na omega, hubadiliki kamwe
Zaidi ya yote, utabaki kua Mungu mkuu.

Comment below with your feedback and thoughts on this post.