Gospel Global Bony Mwaitege – Ni Kwa Neema

Bony Mwaitege – Ni Kwa Neema

Download Ni Kwa Neema Mp3 Audio by

Here's an amazing song and music lyrics from the talented musician and renowned global vocalist, ““. It's a song titled “Ni Kwa Neema“, from the album Mama Ni Mama, and was released in 2010. This beautiful song, accompanied by a stunning music video, audio, and lyrics, is sure to captivate listeners of all ages. Don't miss out on this beautiful musical experience.

Artist Name:
Song Title:Ni Kwa Neema
Produced by:Kameta, Man Walter, John, Omary Khali and Double B
Album:Mama Ni Mama
Released:2010
Song Duration:08:15

Get MP3 audio for free, Download, Stream, and Share this powerful song with your friends and family, and let the blessings overflow! By sharing it with your loved ones, you're spreading the goodness and joy that this song brings. Let its melodious tunes and heartfelt lyrics be a source of inspiration and comfort to those who need it. #CeeNaija

DOWNLOAD HERE

DOWNLOAD MORE BONY MWAITEGE SONGS HERE

Lyrics: Ni Kwa Neema by Bony Mwaitege

Kwa neema ya Bwana kwa neema
Kwa neema ya Bwana kwa neema
Hivi nilivyo mimi ni kwa neema
Wala sio kwa ujanja wangu ni kwa neema ya Bwana
Hivi nilivyo mimi ni kwa neema
Wala sio kwa ujanja wangu ni kwa neema ya Bwana
Ohh aah

Nakushukuru Mungu kwa neema inayofanya niishi
Nakushukuru mungu kwa ajili ya
Yesu mwanao Nimepata Neema
Nakushukuru mungu wa mbinguni
Ni kwa neema yako ninakula ninakunyua
Hivi nilivyo mimi ni kwa neema yako
Wala si kwa ujanja wangu ni kwa neema
Hivi nilivyo mimi ni neema
wala si ujanja wangu ni neema Bwana

Kwa neema ya Bwana kwa neeema (Neema ya Yesu)
Kwa neema ya Bwana kwa neeema (Neema ya Bwana)
Hivi nilivyo mimi ni kwa neema (Neema ya Yesu)
Wala sio kwa ujanja wangu ni kwa neema (Neema ya Bwana)
Hivi nilivyo mimi ni kwa neema(Neema ya Yesu)
Wala sio kwa ujanja wangu ni kwa neema ya Bwana (Neema ya Msalaba)

Mimi ningekuwa nani kama si wewe
Nani angenisikiliza kama si wewe Yesu
Nani angelisikiliza nikiomba
Naomba nasikilizwa kwa neema yako
nimeomba mke mwema umenipa
Sio kwa ujanja wangu ni kwa neema
nimeomba mke mwema umenipa
Sio kwa ujanja wangu ni kwa neema eeh

Kwa neema ya Bwana kwa neeema (Neema ya Yesu)
Kwa neema ya Bwana kwa neeema (Neema ya Bwana)
Hivi nilivyo mimi ni kwa neema (Neema ya Yesu)
Wala sio kwa ujanja wangu ni kwa neema (Neema ya Bwana)
Hivi nilivyo mimi ni kwa neema(Neema ya Yesu)
Wala sio kwa ujanja wangu ni kwa neema ya Bwana (Neema ya Msalaba)

Nani angekusikiliza ndugu yangu
Nani angekusikiliza ukiomba
Umeomba umejibiwa maombi
Sio kwa ujanja wako ni kwa neema
Usidharau wengine ndugu yangu
Vyote ulivyo navyo ni kwa neema
Hivyo ulivyo ndugu ni kwa neema
Sio kwa ujanja wako ni kwa neema
Hivi nilivyo mimi ni kwa neema
Sio kwa ujanja wangu ni kwa neema
Hivi tulivyo sisi ni kwa neema
Sio kwa ujanja wetu ni kwa neema eh

Kwa neema ya Bwana kwa neeema (Neema ya Yesu)
Kwa neema ya Bwana kwa neeema (Neema ya Bwana)
Hivi nilivyo mimi ni kwa neema (Neema ya Yesu)
Wala sio kwa ujanja wangu ni kwa neema ya Bwana (Neema ya Bwana)
Hivi nilivyo mimi ni kwa neema(Neema ya Yesu)
Wala sio kwa ujanja wangu ni kwa neema ya Bwana (Neema ya Msalaba)

Mimi ningekuwa nani kama si wewe
Nani angenisikiliza kama si wewe Yesu
Nani angelisikiliza nikiomba
Naomba nasikilizwa kwa neema yako
nimeomba mke mwema umenipa
Sio kwa ujanja wangu ni kwa neema
nimeomba mke mwema umenipa
Sio kwa ujanja wangu ni kwa neema eeh

Kwa neema ya Bwana kwa neeema (Neema ya Yesu)
Kwa neema ya Bwana kwa neeema (Neema ya Bwana)
Hivi nilivyo mimi ni kwa neema (Neema ya Yesu)
Wala sio kwa ujanja wangu ni kwa neema (Neema ya Bwana)
Hivi nilivyo mimi ni kwa neema(Neema ya Yesu)
Wala sio kwa ujanja wangu ni kwa neema ya Bwana (Neema ya Msalaba)

Kwa neema ya Bwana kwa neeema (Neema ya Yesu)
Kwa neema ya Bwana kwa neeema (Neema ya Bwana)
Hivi nilivyo mimi ni kwa neema (Neema ya Yesu)
Wala sio kwa ujanja wangu ni kwa neema (Neema ya Bwana)
Hivi nilivyo mimi ni kwa neema(Neema ya Yesu)
Wala sio kwa ujanja wangu ni kwa neema ya Bwana (Neema ya Msalaba)

Comment below with your feedback and thoughts on this post.