Gospel Global Bahati Bukuku – Kesho Ni Fumbo

Bahati Bukuku – Kesho Ni Fumbo

Download Kesho Ni Fumbo Mp3 by

Here's a song by the African prolific music artist and talented singer ““. This song is titled “Kesho Ni Fumbo”, as it was released alongside its video. You'll also be blessed.

Download Audio Mp3, Stream, Share, and stay graced

DOWNLOAD HERE

DOWNLOAD MORE BAHATI BUKUKU SONGS HERE

Lyrics: Kesho Ni Fumbo by

Nilipopata taarifa hizi kuu,
Nilipopata taarifa hizi kuu
Moyo wangu umeumia,
Moyo wangu umepasuka
Moyo wangu umetabukwa,
nimekosa amani
Majirani wamenipigia aaah.
Eti huyu na yule Hawaongei na huyo
Yule na yule, kundi lao ni lile
Huyu na yule, kundi lao ni lile
Ni ndugu wa familia moja,
Watoto wa mama mmoja
Waliotoka tumbo moja aah,
Ni ndugu wa familia moja
Tena ukoo mmoja aah
Huyu na yule Hawaongei na huyo
Yule na huyo, kundi lao ni lile
Ni ndugu wa familia moja
Watoto wa baba mmoja
Ugomvi wao nimeusikia,
Walioshuhudia wamenisimulia
Kwa kuwa mimi ni dada yao,
nilikuwa mbali
Na yote yaliyotokea,
Mimi sikuyajua
Nenda waambie waje leo leo leo,
Kawaambie waje leo leo leo
Kawaambie waje leo leo leo
Kwa kuwa hatujui yatakoyo tokea kesho
Kawaambie waje leo leo leo
Kawaambie waje leo leo leo
Kawaambie waje leo leo leo
Kwa kuwa hatujui yatakoyo tokea kesho..
Ninaposoma neno la Mungu, amri kubwa ni upendo
Kwa upendo aliojitoa Yesu, Kila anaye mwamini lazima awe nao
Ninaposoma neno la Mungu, amri kubwa ni upendo
Kwa vita mlivyo navyo nyinyi, upendo wenu uko wapi?
Kwa chuki mlizoo nazoo nyinyi, upendo wenu uko wapi?
Kwa vita mlivyo navyo nyinyi, Mungu wenu yuko wapi?
Kwa mbaya mnayofanyiana nyinyi, neema ya Mungu iko wapi kwenu?
Kwa chuki mnazo onyesha nyinyi, Mung wenu yuko wapi?
Ninini kinawangombanisha? Ninini kinaondoa amani?
Ninini kinawatenganisha? Ninini kinaondoa amani?
Kama pesa zipo? mali zipo?
Kama majumba yapo? vyote tunavyo.
Kama umaskini upo? Tulianza nao.
Kama pesa zipo? mali zipo?
Kama majumba yapo? vyote tunavyo.
Kama umaskini upo? Tulianza nao.
Nini kinatuparaganisha leo?
Kawaambie waje leo leo leo
Kwaambie waje leo leo leo
Kawaambie waje leo leo leo
Kwa kuwa hatujui yatakoyo tokea kesho.
Kaaaambie waje leo leo leo
Kawaambie waje leo leo leo
Kawaambie waje leo leo leo
Kwa kuwa hatujui yatakoyo tokea kesho.
Hizo zote ni mbinu za shetani, anajaribu kutupigaa.
Hizo zote ni mbinu za shetani, anataka kuwavuruga.
Ni kipi kigeni kwenu nyinyi? Ni kipi kipya kwenu nyinyi?
Hata nishindwe kuelewa na nyinyi? Ni kipi kigeni kwenu?
Hadi mshindwe kusameheana?
Kama pesa zipo? mali zipo?
Kama majumba yapo? vyote tunavyo.
Kama umaskini upo? Tulianza nao.
Kama pesa zipo? mali zipo?
Kama majumba yapo? vyote tunavyo.
Kama umaskini upo? Tulianza nao.
Kawaambie waje leo leo leo
Kawaambie waje leo leo leo
Kawaambie waje leo leo leo
Kwa kuwa hatujui yatakoyo tokea kesho.
Kawaambie waje leo leo leo
Kawaambie waje leo leo leo
Kawaambie waje leo leo leo
Kwa kuwa hatujui yatakoyo tokea kesho.

Comment below with your feedback and thoughts on this post.