Home Music Video & Lyrics

Vestine & Dorcas – Emmanuel

Download Emmanuel Mp3 by Vestine & Dorcas

The award-winning gospel music duo from Rwanda Vestine & Dorcas presents to us a compelling song, as this masterpiece is titled “Emmanuel“. This track, released in 2025 , is a captivating and inspirational addition to any music enthusiast’s collection. The tune “Emmanuel” carries a powerful message and a mesmerising melody, making it a must-listen for all. Feel free to stream the mp3, watch the video, and sing along to the heartfelt lyrics.

Get the MP3 audio, download, stream, and share this amazing song with your friends and family. When you share it, you’re spreading the goodness and joy of the song. #CeeNaija

DOWNLOAD HERE

Download More VESTINE & DORCAS Songs Here

Lyrics: Emmanuel by Vestine & Dorcas

Kwa upande wako nitasimama himara Hata marafiki wanitenge ,kila mahali nizatungukwa na neema
nitazidiwa na nyimbo za sifa

Nimeona waliopondwa wamerejeshwa tena
waliocoka hupata nguvu mpya

Roho tasa ziriokorewa kwa pumzi wako takatifu
Kwa kila ajabu uliodenda,
niliona sababu za kukuabudu.
kwenye kila chozi oliyofuta
kuna ishara ya uku wako

Ukiishi nami Yesu
Nimuogope nani Yesu
Askari wangu Hodari x2

Bila masharti ulinichaguwa
ulinipenda jinsi nilivyokuwa Emmanuel
siwizije kuhisi kubarikiwa na wema wako kubwa uliomimina x2
Kwa Juu yangu

ooooooh Niligonga mlango
Ooooooh ukanifunguliya
Ooooh I will Glorify you .
I ‘go lift you high
kwa uhuru nimepata

Verse 2:

umekaa nami katika zhoruba
kupitia mwoto tumekuwa pamoja
myoyo yetu ilijaliwa na Woga.
huruma yako ikanikomboa

upendo wako ni ngao yangu
Golliati hatanizowea
Ushindi wako ni fahari yangu

Fimbo yako inaniongoza
Mwana kondo mwenye miujiza
Ushindi wako ni fahari yangu

Kwa kila ajabu uliodenda,
niliona sababu za kukuabudu.
kwenye kila chozi oliyofuta
kuna ishara ya uku wako

Ukiishi nami Yesu
Nimuogope nani Yesu
Askari wangu Hodari x2

Bila masharti ulinichaguwa
Ulinipenda jinsi nilivyokuwa Emmanuel
Siwizije kuhisi kubarikiwa na wema wako kubwa uliomimina

Kwa juu yangu
ooooooh Niligonga mlango
ooooooh ukanifunguliya
Ooooh I will Glorify you
I ‘go lift you high

kwa uhuru nimepata

Kwa pleasure na Sorrow through every hollow

I will always walk in steps you called me to follow

katika kila tatizo iwe kubwa ao dogo nitaweka Imani yangu yote kwako

Kwa kila ajabu uliodenda,
niliona sababu za kukuabudu.
kwenye kila chozi oliyofuta
kuna ishara ya uku wako

Ukiishi nami Yesu
Nimuogope nani Yesu
Askari wangu Hodari x2

Bila masharti ulinichaguwa
Ulinipenda jinsi nilivyokuwa Emmanuel
Siwizije kuhisi kubarikiwa na wema wako kubwa uliomimina

Kwa juu yangu
ooooooh Niligonga mlango
ooooooh ukanifunguliya
Ooooh I will Glorify you
I ‘go lift you high

kwa uhuru nimepata

kwa kila ajabu uliotenda.
Niliona sababu za kukuabudu.
kwenye kila chozi oliyofuta
kuna ishara ya uku wako

Ukiishi nami Yesu
Nimuogope nani Yesu
Askari wangu Hodari

Bila masharti ulinichaguwa
Ulinipenda jinsi nilivyokuwa Emmanuel
Siwizije kuhisi kubarikiwa na wema wako kubwa uliomimina

Kwa juu yangu
ooooooh Niligonga mlango
ooooooh ukanifunguliya
Ooooh I will Glorify you
I ‘go lift you high

kwa uhuru Nimepata

Comment below with your feedback and thoughts on this post.