Music Video & Lyrics Papi Clever & Dorcas – Nageze Ku Mwami (Roho Yangu Inaimba)

Papi Clever & Dorcas – Nageze Ku Mwami (Roho Yangu Inaimba)

Download Nageze Ku Mwami (Roho Yangu Inaimba) Mp3 by Papi Clever & Dorcas

Here’s an amazing song and music lyrics from “Papi Clever & Dorcas“. It’s a song titled “Nageze Ku Mwami (Roho Yangu Inaimba)“, and was released in 2025. This beautiful song, accompanied by a stunning music video, audio, and lyrics, is sure to captivate listeners of all ages. Don’t miss out on this beautiful musical experience.

Get MP3 audio, Download, Stream, and Share this powerful song with your friends and family, and let the blessings overflow! By sharing it with your loved ones, you’re spreading the goodness and joy that this song brings. #CeeNaija

DOWNLOAD HERE

Download More PAPI CLEVER & DORCAS Songs Here

Lyrics: Nageze Ku Mwami (Roho Yangu Inaimba) by Papi Clever & Dorcas

Nimefika kwake Yesu, Na rohoni mwangu sasa
Jua lake la neema linangโ€™aa kila siku

Roho yangu inaimba, nimefunguliwa kweli
Nimekaribia Yesu, ninaimba kwa furaha
Roho yangu inaimba, nimefunguliwa kweli
Nimekaribia Yesu, ninaimba kwa furaha

Pepo za neema yake zinavuma ndani yangu
Na mawimbi ya wokovu yananijaliza sasa

Roho yangu inaimba, nimefunguliwa kweli
Nimekaribia Yesu, ninaimba kwa furaha
Roho yangu inaimba, nimefunguliwa kweli
Nimekaribia Yesu, ninaimba kwa furaha

Sasa Bwana Yesu Kristo amefanya kao kwangu
Nimepewa mfariji, Roho ya ahadi yake

Roho yangu inaimba, nimefunguliwa kweli
Nimekaribia Yesu, ninaimba kwa furaha
Roho yangu inaimba, nimefunguliwa kweli
Nimekaribia Yesu, ninaimba kwa furaha

ยซSiku roho afikapo mtajua kwa hakika
kwamba ninakaa kwenuยป, hivyo Yesu alisema

Roho yangu inaimba, nimefunguliwa kweli
Nimekaribia Yesu, ninaimba kwa furaha
Roho yangu inaimba, nimefunguliwa kweli
Nimekaribia Yesu, ninaimba kwa furaha

Kweli, amefika kwetu, sasa yumo ndani yetu
Ujitoe kwake Mungu, aioshe roho yako

Roho yangu inaimba, nimefunguliwa kweli
Nimekaribia Yesu, ninaimba kwa furaha
Roho yangu inaimba, nimefunguliwa kweli
Nimekaribia Yesu, ninaimba kwa furaha

Yesu atakapokuja katita utakatifu
Nitafananishwa naye, nitamshukuru sana
Zitakuwa nyimbo nyingi tutaโ€™poingia mbingu
Na milele tutaimba na kusifu Mungu wetu
Na milele tutaimba na kusifu Mungu wetu
Na milele tutaimba na kusifu Mungu wetu

Comment below with your feedback and thoughts on this post.