Gospel Global Ambwene Mwasongwe – Unikumbuke

Ambwene Mwasongwe – Unikumbuke

🎵 Click to Join our WhatsApp Channel for the latest gospel updates & Trending songs!

Download Unikumbuke Mp3 by

The African Christian music minister drops a powerful song alongside its visuals, as this song is titled “Unikumbuke“. You'll see praising God on this song with joy.

Get AUdio Mp3, Stream, Share & stay graced

DOWNLOAD HERE

DOWNLOAD MORE AMBWENE MWASONGWE SONGS HERE

Lyrics: Unikumbuke by

Nimekuita uambie watu ushuhuda wangu
Miaka tisa nimekaa jela
Nilifungwa kwa kosa la kusingiziwa
Namshukuru Mungu nimetoka
Usiku ule nilikamatwa kama mchezo
Na mke wangu na mtoto mdogo
Nikadhani labda walikuwa wanatania
Labda ilikuwa siku ya wajinga
Hakuna mtu alielewa ukweli wa ushahidi wangu
Wala sikuwa na wakumweleza akanielewa
Mazingira ya kesi, ushahidi, sheria za kazi
Siri ni ban, mpaka mke wangu kaniambia
Kama umefanya kiri kosa tujue moja
Nikumbuke, kumbuka haki yangu, sikufanya ubaya
Nikumbuke, nikumbuke, sikufanya ubaya
Nikumbuke, namna walivyonishtaki kwa hila na wivu
Nikumbuke, bwana unikumbuke nililia
Hey, kumbuka bwana haki yangu
Hey, wakumbuke, walivyo kufanikiwa jela
Uwakumbuke, Mungu wakumbuke washa mshumaa ndani ya nyumba
Mkumbuke mtoto mchanga asiye na hatia
Uwakumbuke, kama ningekuwepo angekonda
Kumbuka Adam, aliyebaki, alikufanya kushtuka kwa ajili yako
Nilidhani Mungu kalisahau faili langu
Nikadhani kwamba nitaaibika
Sikuwa tena na tumaini lililobaki
Haki yangu ilikuwa tumaini pekee
Waweza elewa shahidi wangu alikuwa Mungu
Labda na wale walioua
Mwisho wa siku Mungu alinitetea
Na waliofanya kosa kunikana
Haki yangu ikasitana kama mtende na mwelezi
Pale banoni, walinichimba wakuning'oa sababu ya Mungu
Waliinamisha wakunivunja, walinitikisa sikupukutika
Walinichuma ili niishe
Wewe bwana ulinitetea na haki yangu
Nikumbuke, kumbuka maadui walivyonizunguka
Nikumbuke, kumbuka ushahidi wa maneno yao
Nikumbuke, kumbuka walivyonichafua jina langu
Nikumbuke, kumbuka walivyoniona
Mi ni mhalifu, hey ukalisafishe jina langu
Hey bwana, uwakumbuke! Uwakumbuke Ukarehemu makosa yao
Uwakumbuke! Japo walifanya ubaya bwana na uwasamehe
Uwakumbuke! Nilienda jela nikiwa bado sikujui
Uwakumbuke! Nimetoka nimeokoka nimekujua
Nikumbuke! Bwana unikumbuke usinisahau
Natengeza fadhili zako, niimbe Mungu baba
Nimefurahi, niimbe Mungu bwana
Nimefurahi, niimbe Mungu bwana
Nimefurahi, niimbe Mungu bwana
Nimefurahi, niimbe Mungu bwana

Comment below with your feedback and thoughts on this post.