Home Universal Gospel

Abigail Asukulu – Mwangaza

Download Mwangaza Mp3 by Abigail Asukulu Ft. Rose Muhando

Here’s an amazing song and music lyrics from the passionate and soulful gospel singer, “Abigail Asukulu“. It’s a song titled “Mwangaza” featuring Rose Muhando, and was released in 2025. This beautiful song, accompanied by a stunning music video, audio, and lyrics, is sure to captivate listeners of all ages. Don’t miss out on this beautiful musical experience.

Get MP3 audio, Download, Stream, and Share this powerful song with your friends and family, and let the blessings overflow! By sharing it with your loved ones, you’re spreading the goodness and joy that this song brings. #CeeNaija

DOWNLOAD HERE

Download More ABIGAIL ASUKULU Songs Here

Listen on your favorite platform

You May Like These Too 🔥

Lyrics: Mwangaza by Abigail Asukulu

Heee hee hee heiiii

Hofu ilinifanya ni kwameee,
baraka nisizione kelele
zakuambiwa sitawezaa
zilinitawala, nikawa kituko
mbele zao wasio aminiii,

tena walinicheka sana
wakisema,Mungu
wangu hayupoo Zilipo
anza dalili za kuinuka
ndipo nika gundua
niko salaama, woga
ukaniondoka, nika jua
yupo mwokozi nitapo
kwamaa,

Hipo atua zaidi ya mwisho
wa safari yangu, ipo
nuru zaidi ya mwisho
wa kuona kwangu,
Kipo chanzo zaidi
cha mbele ya ukomo
waangu hata pale
naposema siwezi,
hipo sababu ya
ushindi wangu.

Mwangaza hupo, hupo
hatagiza likitanda,
sitochoka kuamini
najua Mungu yupo,
yupo” na ananipenda.

Mwangazaaa hupo,
hupo” hatagiza likitanda,
sitochoka kusubiri najua Mungu
yupo, yupo” na ananipenda.

Mkono, mkono, mkono
uliyabeba Yaliyo nielemea,
taratibu mbele nasonga,
ijapokua nachechemea, haa
na navuka moto, ilinifike
ni nakoelekea; jaribu
linachoma kama moto,
lakini nyuma sita rejea,
atanibembeleza kama
mtoto,Wala sitaelemewa,

Wala Sina upwekeee,
mbele naendelea, malaika
wa zamu nitetee adui
asinikaribie, asikae
barazani achekee,
kwa mikono yako
nikumbatie, aibu
na ziwashike fedheha
na ziwaelemee eeeh

Mwangaza hupo,
hupo hatagiza likitanda,
sitochoka kuamini najua
Mungu yupo “yupo
na ananipenda.

Mwangazaaa hupo,
hupo” hatagiza likitanda,
sitochoka kusubiri najua
Mungu yupo, “yupo”
na ananipenda.

Anajibu kwa wakati,
kumuamini sijakosea,
lolote halinipati, Baba
yupo ananitetea x2

Mwangaza hupo,
hupo” hatagiza likitanda,
sitochoka kuamini najua
Mungu yupo “yupo”
na ananipenda.

Mwangazaaa hupo,
hupo” hatagiza likitanda,
sitochoka kusubiri najua
Mungu yupo, “yupo
na ananipenda x2.

LEAVE A REPLY

Please enter your comment!
Please enter your name here